Psalms 25:1-2

Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi

Zaburi ya Daudi.

1 aKwako wewe, Ee Bwana,
nainua nafsi yangu,
2 bni wewe ninayekutumainia,
Ee Mungu wangu.
Usiniache niaibike,
wala usiache adui zangu wakanishinda.
Copyright information for SwhNEN